Havíamos enviado ao povo de Samud seu irmão, Sáleh, que disse aos seus membros: Adorai a Deus! Porém, eis que sedividiram em dois grupos, que disputavam entre si.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Hakika tulimtumiliza kwa watu wa Thamūd ndugu yao Ṣāliḥ kwamba: Mpwekesheni Mwenyezi Mungu na musimchukue mungu mwingine mukamuabudu pamoja na Yeye. Alipowajia Ṣāliḥ kuwalingania kwenye kumpwekesha Mwenyezi Mungu na kumuabudu Peke Yake, watu wake walikuwa mapote mawili: mojawapo ya mapote mawili lilimuamini na lingine liliukanusha ulinganizi wake, kila mmoja kati ya watu wa mapote hayo mawili alikuwa akidai kwamba haki iko pamoja na yeye.