E havia, na cidade, nove indivíduos, que causaram corrupção na terra, e não praticavam o bem.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na katika mji wa Ṣāliḥ, nao ni mji wa Ḥijr, ulioko Kaskazini magharibi ya bara Arabu, kulikuwa na wanaume tisa, shughuli yao ni kufanya uharibifu katika ardhi usiochanganyika na wema wowote wa kutengeneza.