Acaso, não reparam em que temos instituído a noite para o seu repouso e o dia para dar-lhes luz? Por certo que nisto hásinais para os crentes!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Je, hawakuona hawa wakanushaji wa aya zetu kwamba sisi tumeufanya usiku ni kipindi cha wao kutulia ndani yake na kulala, na mchana ni kipindi cha wao kuona ili waende kutafuta maisha yao? Hakika katika kuvipelekesha hivyo viwili kuna ushahidi kwa watu wanaoamini ukamilifu wa uweza wa Mwenyezi Mungu, upweke Wake na ukubwa wa neema Zake.