A quem combater o Mensageiro, depois de haver sido evidenciada a Orientação, seguindo outro caminho que não o dosfiéis, abandoná-lo-emos em seu erro e introduziremos no inferno. Que péssimo destino!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na mwenye kuenda kinyume na Mtume , rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukiye baada ya kubainikiwa na haki na akafuata njia isiyokuwa njia ya Waumini na haki ambayo wako nayo, basi tutamuacha na muelekeo wake, hatutamuongoza kwenye heri na tutamtia ndani ya Moto wa Jahanamu, akiteseka kwa joto lake. Ni mabaya yaliyoje marejeo haya kuwa ndio mwisho wa mtu!