Não vos caseis com as mulheres que desposaram os vosso pais - salvo fato consumado (anteriormente) - porque é umaobscenidade, uma abominação e um péssimo exemplo.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Wala msiwaoe wanawake walioolewa na baba zenu, isipokuwa yaliyopita mliyoyafanya katika zama za jahiliyyah (kabla ya Uislamu). Hayo hamtalipwa kwayo. Hakika ndoa ya watoto kuwaoa waliokuwa wake wa baba zao ni jambo baya lenye upeo wa ubaya, na ni jambo lenye kuchukiza ambalo Mwenyezi Mungu Anamchukia mwenye kulifanya. Na ubaya wa njia na mwenendo ni huo mliokuwa mkiufanya zama za ujinga wenu( kabla ya Uislamu).