E que perseveram no anelo de contemplar o Rosto de seu Senhor, observam a oração e fazem caridade, privativa oumanifestamente, daquilo com que os agraciamos, e retribuem o mal com o bem; estes obterão a última morada.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Nao ndio ambao walivumilia udhia na kusimama juu ya utiifu na kujiepusha na uasi kwa kutafuta radhi za Mola wao, walitekeleza Swala kwa namna iliyotimia zaidi, walitekeleza Zaka za lazima za mali yao na matumizi yanayopendekezwa kwa siri na kwa dhahiri na wakawa wanaondoa baya kwa zuri lenye kulifuta. Hao wanaosifika kwa sifa hizi watakuwa na mwisho wenye kusifiwa huko Akhera.