Sofrerão um castigo na vida terrena; porém, o do outro mundo será mais severo ainda e não terão defensor algum, anteDeus.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Makafiri hawa wenye kuzuia njia ya Mwenyezi Mungu watakuwa na adhabu ngumu katika maisha ya ulimwenguni kwa kuuawa, kutekwa na kuhiziwa. Na kwa hakika, adhabu yao huko Akhera ni nzito zaidi na ni kali zaidi, na hawatakuwa na kizuizi chenye kuwazuia wasipate adhabu ya Mwenyezi mungu.