E não acharão intercessores, entre os seus parceiros, e eles (próprios) renegarão seus parceiros.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na washirikina , Siku hiyo, hawatokuwa na waombezi kati ya waungu wao waliokuwa wakiwaabudu badala ya Mwenyezi Mungu, bali wao, hao waungu, watajiepusha nao na wao watajiepusha nao. Maombezi ni ya Mwenyezi Mungu Peke Yake, na hayatafutwi kutoka kwa mwingine.