Mas quando agraciamos os humanos com a misericórdia, regozijam-se dele; por outra, se os açoita a adversidade, peloque as suas mãos cometeram, ei-los desesperados!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na tunapowaonjesha watu neema itokayo kwetu ya afya, uzima na mafanikio, wanafurahia hilo furaha ya kiburi na majivuno, na sio furaha ya shukrani. Na yakiwapata wao magonjwa, umasikini, kuogopa na dhiki kwa sababu ya dhambi zao na maasia yao, ghafula wao wanakata tamaa kuwa hayo yatawaondokea. Na hii ni tabia ya wengi wa watu katika hali ya neema na matatizo.