Certamente não poderias fazer ouvir os mortos, nem os surdos, quando voltam as costas em fuga.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Kwa hakika wewe, ewe Mtume, humsikilizishi yule ambaye moyo wake umekufa au mashikio yake yamezibana yakawa hayaisikii haki. Basi usibabaike wala usisikitike kwa kukataa kukuamini hawa washirikina, kwani wao ni kama viziwi na wafu, hawasikii wala hawahisi hata kama wako mbele yako, basi itakuwa vipi iwapo hawako na wewe na wamekupa mgongo.