Entrar
Entrar
Entrar
Selecione o idioma

Tafsir: As-Saffat 37:143

37:143
فلولا انه كان من المسبحين ١٤٣
فَلَوْلَآ أَنَّهُۥ كَانَ مِنَ ٱلْمُسَبِّحِينَ ١٤٣
فَلَوۡلَآ
أَنَّهُۥ
كَانَ
مِنَ
ٱلۡمُسَبِّحِينَ
١٤٣
E se não se tivesse contado entre os glorificadores de Deus,
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Lau si yale yaliyotangulia kwake, ya wingi wa Ibada na matendo mema kabla ya kuingia ndani ya tumbo la chewa kwa kusema, «Hapana Mola anayepasa kuabudiwa kwa haki isipokuwa wewe, kutakasika na sifa za upungufu ni kwako, mimi nimekuwa miongoni mwa wenye kudhulumu,»