Porém, (quando lhes chegou o Alcorão), negaram-no. Logo saberão!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Ulipowajia wao utajo wa watu wa mwanzo na utajo wa watu wa mwisho na kitabu kikamilifu kabisa na bora wa Mitume, naye ni Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, walimkanusha. Basi wataijua adhabu watakayopatiwa Siku ya Mwisho.