And who does more wrong than the one who is reminded of Allah’s revelations then turns away from them? We will surely inflict punishment upon the wicked.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hakuna hata mmoja aliye dhalimu zaidi wa nafsi yake kuliko yule aliyekumbushwa dalili za Mwenyezi Mungu kisha akazipa mgongo zote, asiwaidhike kwa mawaidha yake, bali akayafanyia kiburi. Hakika sisi ni wenye kuwatesa wale wahalifu waliozipa mgongo aya za Mwenyezi Mungu na hoja Zake na wasinufaike nazo.