Sede leais na medida, e não sejais dos defraudadores.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Shu’ayb akaendelea kuwaambia- na walikuwa wakipunguza vipimo na mizani-, «Watimizieni watu vipimo kwa kuwakamilishia, na msiwe ni kati ya wale wanaowapunja watu haki zao,