Que dão ouvidos aos satânicos e são, na sua maioria, falazes.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Mashetani wanasikiliza kwa kuiba, wanayanyakuwa maneno kutoka sehemu za juu wakawatupia makuhani na wale wanaokuwa na mwenendo wao miongoni mwa watu wenye matendo mabaya. Na wengi wa hawa ni warongo, kwani mmoja wao husema kweli katika neno moja na akaongeza juu yake maneno mia moja ya urongo.