Quê! Há, acaso, (seres) parceiros (de Deus) que lhes tenham instituído algo a respeito da religião, sem a autorização deDeus? Porém, se não houvesse sido pelo decreto do juízo, já os teria julgado. Certamente, os iníquos sofrerão um dolorosocastigo.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Je, kwani hawa wenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu wana washirika katika ushirikina wao na upotevu wao ambao waliwazulia katika dini na ushirikina kitu Asichoamuru Mwenyezi Mungu? Na lau si hukumu ya Mwenyezi Mungu makadirio Yake ya kuwapa muhula na kutowaharakishia adhabu duniani, wangalihukumiwa kuharakishiwa adhabu. Na kwa hakika wale wenye kumkanusha Mwenyezi Mungu watakuwa na adhabu yenye uchungu na kuumiza Siku ya Kiyama.