E atende (às súplicas) dos fiéis, que praticam o bem, e os aumenta de Sua graça; porém, os incrédulos sofrerão umsevero castigo.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na wale waliomuamini Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, wanamuitika Mola wao kwa kile Alichowaitia na wanajisalimisha Kwake, na Yeye Anawaongezea fadhila Zake kwa kuwaongoza na kuwazidishia malipo na thawabu. Na wale wenye kumkanusha Mwenyezi Mungu na Mtume Wake watapata adhabu kali yenye kuumiza na yenye uchungu Siku ya Kiyama.