Obedecei, pois, a Deus e obedecei ao Mensageiro! Mas, se recusardes, sabei que ao Nosso Mensageiro somenteincumbe a proclamação lúcida da mensagem.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na mtiini Mwenyezi Mungu, enyi watu, na muongokee Kwake katika yale Aliyoyaamrisha na Aliyoyakataza, na mfuateni Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, katika yale aliyowafikishia kutoka kwa Mola wake. Na iwapo mtaupa mgongo utiifu wenu kwa Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, basi Mjumbe wetu hana madhara yoyote kutokana na kupa mgongo kwenu. Jukumu lake yeye ni kuwafikishia nyinyi yale Aliyotumilizwa kwayo ufikishaji wenye maelezo ya waziwazi.