Se emprestardes a Deus espontaneamente, Ele vo-lo multiplicará o vos perdoará, porque Deus é Retribuidor, Tolerante,
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Iwapo mtatoa mali yenu katika njia ya Mwenyezi Mungu kwa kumtakasia Yeye na kwa moyo mzuri, Atawaongezea Mwenyezi Mungu thawabu za ambacho mmekitoa na Atawasamehe madhambi yenu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kurudisha shukrani kwa watoaji kwa kuwapa malipo mema ya kile walichokitoa, ni Mpole kwa kutoharakisha mateso kwa wanaomuasi.