Por certo que os agraciei, bem como seus pais, até que lhes chegou a verdade e um elucidativo mensageiro.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Bali niliwastarehesha hawa washirikina wa watu wako, ewe mtume, na wazazi wao kabla yao kwa uhai, sikuwaharakishia adhabu kwa ukanushaji wao mpaka ikawajia Qur’ani na Mtume wa kuwabainishia wanachokihitajia katika mambo ya Dini yao.