Mas, quando nos provocaram, punimo-los e os afogamos a todos.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Walipotukasirisha, kwa kutuasi na kumkanusha Mūsā na miujiza aliyokuja nayo, tuliwatesa kwa adhabu ya duniani tuliyowaharakishia na tukawazamisha wote baharini.