Porém, não lhes chegou profeta algum, sem que o escarnecessem.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Hawajiwi na Nabii yoyote isipokuwa huwa wakimcheza shere kama vile watu wako walivyokucheza shere, basi tukawaangamiza wale waliowakanusha Mitume wetu, nao walikuwa ni wenye nguvu kali na ushujaa wa kivita kuliko watu wako, ewe Mtume.