É um Alcorão árabe, irrepreensível; quiçá assim temem a Deus.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na tumeijaalia hii Qur’ani ni kwa lugha ya Kiarabu, yenye matamshi yaliyofunuka wazi na yenye maana mepesi yasiyo na uchanganyifu wala upotofu, huenda wao wakamcha Mwenyezi Mungu kwa kufuata amri Zake na kuepuka makatazo yake.