Ou diga, quando vir o castigo: Se pudesse Ter outra chance, seria, então, um dos benfeitores!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
«Au ikasema, itakapo kuiona adhabu ya Mwenyezi Mungu imeizunguka Siku ya Kiyama, ‘Natamani nipatiwe nafasi ya kurudi kwenye maisha ya kilimwengu nikawa huko ni miongoni mwa wenye kufanya wema kwa kumtii Mola wao na kufanya matendo yaliyoamrishwa na Mitume.’»