Suas são as chaves dos céus e da terra; quanto àqueles que negam os versículos de Deus, serão os desventurados.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Ni za Mwenyezi Mungu funguo za hazina za mbinguni na ardhini, Anatoa kutoka kwenye hazina hizo kuwapa viumbe Vyake namna Anavyotaka. Na wale waliozikanusha aya za Qur’ani na dalili wazi zilizomo, hao ndio wenye kupata hasara ulimwenguni kwa kutoafikiwa kuamini, na kesho Akhera kwa kukaa milele Motoni.