Entrar
Entrar
Entrar
Selecione o idioma

Tafsir: Fussilat 41:4

41:4
بشيرا ونذيرا فاعرض اكثرهم فهم لا يسمعون ٤
بَشِيرًۭا وَنَذِيرًۭا فَأَعْرَضَ أَكْثَرُهُمْ فَهُمْ لَا يَسْمَعُونَ ٤
بَشِيرٗا
وَنَذِيرٗا
فَأَعۡرَضَ
أَكۡثَرُهُمۡ
فَهُمۡ
لَا
يَسۡمَعُونَ
٤
É alvissareiro e admoestador; porém, a maioria dos humanos o desdenha, sem ao menos escutá-lo.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Hali ya kuwa ni yenye kubashiri malipo ya haraka na ya baadaye kwa anayeiamini na akafanya matendo yanayolingana nayo, na ni yenye kuonya adhabu ya haraka na ya badaye kwa anayeikanusha. Hivyo basi wengi wa watu waliipa mgongo wakawa hawaisikii kusikia kwa kukubali na kuitikia.