Ó povo meu, por que eu vos convoco à salvação e vós me convocais ao fogo infernal?
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
«Na enyi watu wangu! Vipi mimi ninawalingania kumuamini Mwenyezi Mungu na kumfuata Mtume Wake Mūsā, nao ni ulinganizi utakaowafanya nyinyi muishie Peponi na muwe mbali na vituko vya Moto, na nyinyi mnanilingania kufany matendo yenye kupelekea kwenye adhabu ya Mwenyezi Mungu na mateso Yake Motoni.?