Assim se desviam aqueles que negam os versículos de Deus.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Kama mlivyoikanusha haki, enyi makafiri wa Kikureshi, na mkaipa mgongo na mkaenda kwenye ubatilifu, hivyo ndivyo wanavyopotoshwa na haki na kuiamini wale waliokuwa wakizikanusha hoja za Mwenyezi Mungu na dalili Zake.