Que desviam os demais da senda de Deus, tratando de fazê-la tortuosa, e negam a outra vida.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Hawa madhalimu ni wale ambao wanawazuia watu na njia ya Mwenyezi Mungu yenye kupelekea kumuubudu na wanataka njia hizi ziwe kombo ziambatane na matamanio yao na wao wanaikanusha Akhera, hawaamini kufufuliwa wa kulipwa.