Não reparas, acaso, em que, na verdade, Deus criou os céus e a terra? Se a Ele aprouvesse, far-vos-ia desaparecer e vossuplantaria por uma nova geração.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Je, hujui, ewe mwenye kwambiwa,- na makusudiwa ni watu kwa jumla- kwamba Mwenyezi Mungu Ndiye Aliyepatisha mbingu na ardhi kwa namna thabiti yenye kuonyesha hekima Yake , na kwamba Yeye Hakuziumba kwa mchezo, bali ni kwa ajili ya kutolea ushahidi juu ya upweke Wake na ukamilifu wa uweza Wake, ili wamuabudu Peke Yake, na wasimshirikishe na kitu chochote? Basi Akitaka Atawaondoa na Awalete watu wasiokuwa nyinyi wanaomtii Mwenyezi Mungu.