Dize aos Meus servos fiéis que observem a oração, que façam caridade, privativa ou paladinamente, com aquilo comque os agraciamos, antes que chegue o dia em que não haverá transação, nem amparo.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Waambie, ewe Mtume, waja wangu walioamini watekeleze Swala kwa namna yake inayotakikana na watoe sehemu ya mali tuliyowapa katika njia za heri, za lazima na za zinazopendekezwa, watoe kwa siri au waziwazi, kabla ya kuja Siku ya Kiyama ambayo haitafaa kitu fidia wala urafiki.