E não vires o rosto às gentes, nem andes insolentemente pala terra, porque Deus não estima arrogante e jactanciosoalgum.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
«Na usizungushe uso wako ukauepusha na watu unaposema na wao au wanaposema na wewe, kwa kuwadharau na kuwafanyia kiburi, wala usitembee kwenye ardhi baina ya watu kwa kujigamba na kujivuna. Hakika Mwenyezi Mungu Hampendi kila mwenye kiburi, mwenye kujifahiri katika nafsi yake, pambo lake na maneno yake.