E menciona, no Livro, (a história de) Abraão; ele foi um homem de verdade, e um profeta.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na uwatajie, ewe Mtume, watu wako katika hii Qur’ani kisa cha Ibrahīm, amani imshukiye; kwa hakika yeye alikuwa ni mkweli mkubwa na ni miongoni mwa Manabii wa Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, wenye daraja za juu.