E quantas cidades, mais poderosas do que a tua, que te expulsou, destruímos, sem que ninguém tivesse pedidosocorrê-las!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na wengi miongoni mwa watu wa mijini walikuwa wana nguvu zaidi kuliko watu wa mji wako, ewe Mtume, ambao ni Makkah, waliokutoa watu wake humo. Watu wa miji hiyo tuliwaangamiza kwa adhabu za aina mbalimbali. Hawakuwa na msaidizi wa kuwanusuru kutokana na adhabu ya Mwenyezi Mungu.