Tais são aqueles que Deus amaldiçoou, ensurdecendo-os e cegando-lhes as vistas.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Hao ndio wale ambao Mwenyezi Mungu Amewaepusha na rehema Yake Akawafanya wasiyasikie yanayowanufaisha wala wasiyaone na zisiwafunukie hoja za Mwenyezi Mungu pamoja na kuwa ni nyingi.