Porque, se deixares, eles extraviarão os Teus servos, e não gerarão senão os libertinos, ingratos.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Hao ukiwaacha, bila kuwaangamiza, watawapoteza waja wako waliokuamini na kuwapotosha njia ya haki, na haji yoyote kutokana na migongo yao na vizazi vyao isipokuwa yule aliyepotoka na njia ya haki na kukukanusha wewe sana na kukuasi.