Forjou mentiras a respeito de Deus, está louco! Qual! Aquelas que negarem a outra vida serão atormentados por teremestado num profundo erro.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Kwani mtu huyu amemzulia Mwenyezi Mungu urongo, au ana wazimu na kwa hivyo anasema jambo asilolijua? Mambo si vile kama wanavyosema makafiri, bali Muhammad ni mkweli wa wakweli. Na wale wasioamini kufufuliwa na wasiofanya matendo ya kuwafaa huko, watakuwa kwenye adhabu ya milele huko Akhera, na wako kwenye upotevu wa mbali hapa duniani.