Porém, os incrédulos estão imbuídos de arrogância e separatismo.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Anaapa Mwenyezi Mungu, Aliyetakasika, kwa Qur’ani inayokusanya ukumbushaji kwa watu kwa yale ambayo wao wameghafilika nayo. Lakini makafiri wanaifanyia kiburi haki na wanaenda kinyume nayo.