(Então, ordenou): Trazei-os a mim! E se pôs a acariciar-lhes as patas e os pescoços.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Warudisheni hao farasi walioorodheshwa hivi punde.» Wakarudishwa, na akaingia kuipiga miguu yao na shingo zao kwa upanga kwa kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu, kwa kuwa wao walikuwa ni sababu ya Swala yake kumpita, Na ilikuwa kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu kwa kuchinja farasi yakubaliwa katika Sheria yake.