Assombraram-se (os maquenses) de lhes haver sido apresentado um admoestador de sua graça. E os incrédulos dizem: Este é um mago mendaz.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na wameona ajabu washirikina hawa kuwa Mwenyezi Mungu Amewatumia binadamu miongoni mwao awalinganie kwa Mwenyezi Mungu na awaogopeshe adhabu Yake na wakasema, «Hakika yeye si Mtume bali yeye ni mrongo katika maneno yake, anawafanyia uchawi watu wake.