O Faraó os perseguiu com os soldados; porém, a água os tragou a todos!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Basi Mūsā alikwenda usiku pamoja na Wana wa Isrāīl akavuka nao kwenye njia ya bahari, hapo Fir'awn pamoja na askari wake wakawafuata, maji yakawafinika, kwa namna ambayo hakuna anayoijua isipokuwa Mwenyezi Mungu, na wote walizama isipokuwa Mūsā na watu wake.