Não esperam nada, a não ser um estrondo que os fulmine enquanto estão disputando.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Hawangojei hawa washirikina wanaolifanyia haraka agizo la Mwenyezi Mungu kwao, isipokuwa mvuvio wa fazaa wakati Kiyama kitakaposimama, kitawachukua ghafla, na hali wao wanagombana katika mambo ya maisha yao.