E não terão oportunidade de deixar testamento, nem de voltar aos seus.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Hawataweza hawa washirikina wakati wa kuvuviwa barugumu kumuusia yoyote kitu chochote, wala hawataweza kurejea kwa watu wao, bali watakufa wakiwa kwenye masoko yao na pale walipo.