E se concedemos vida longa a alguém reverter-lhe-emos a natureza: não o compreendem?
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na yoyote tutakayeurefusha umri wake mpaka awe mkongwe tunamrudisha kwenye hali ya udhaifu wa akili na udhaifu wa mwili. Basi hawatii akilini kwamba yule Aliyefanya hili ni mwenye uweza wa kuwafufua?