Alef, Lam, Ra. Eis aqui os versículos do Livro da sabedoria.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
(Alif, Lām, Rā’.) Yametangulia maelezo juu ya herufi zilizotajwa kimkato mwanzo wa sura ya Al- Baqarah. Hizi ni aya za Kitabu kilichopangwa vizuri ambacho Mwenyezi Mungu Amekipanga na kukifafanua kwa waja Wake.