Em verdade, não é dado a ser nenhum crer sem a anuência de Deus. Ele destina a abominação àqueles que nãoraciocinam.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Haikuwa nafsi yoyote ni yenye kumuamini Mwenyezi Mungu isipokuwa kwa idhini Yake na taufiki Yake. Basi usiisumbue nafsi yako katika hilo, kwani mambo yao yako kwa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu Ataajaalia adhabu na hizaya kwa wale ambao hawayatii akilini maamrisho Yake na makatazo Yake.