Se Deus apressasse o mal aos humanos, como eles apressam o bem para si, alcançariam rapidamente o seu destino. Porém, abandonaremos, vacilantes em sua transgressão, aqueles que não esperam comparecer perante Nós.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na lau Mwenyezi Mungu Awaharakishia watu kuyakubali maombi yao ya kujitakia mabaya kama Anavyowaharakishia katika kuwakubalia maombi yao ya kujitakia mazuri wangaliangamia. Hivyo basi tunawaacha, wale ambao hawaogopi mateso yetu wala hawaamini kidhati kufufuliwa na kuhuishwa, ndani ya uasi wao na ujeuri wao hali ya kuwa wanashangaa na kuduwaa.