Entre eles há os que te escutam. Poderias fazer ouvir os surdos, uma vez que não entendem?
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na miongoni mwa makafiri kuna wanaosikia maneno yako ya kweli na usomaji wako Qur’ani, lakini wao hawaongoki. Je, kwani wewe unaweza kuwasikizisha viziwi? Vilevile, huwezi kuwaongoa hawa isipokuwa Mwenyezi Mungu Atake kuwaongoa, kwa kuwa wao ni viziwi, hawaisikii haki na hawaielewi.