Não pertence, acaso, a Deus tudo quanto existe nos céus e na terra? Não é verdadeira a promessa de Deus? Porém, amaioria o ignora.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Jua utanabahi kwamba kila kilichoko mbinguni na ardhini ni milki ya Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, hakuna kitu chochote kati ya hivyo ni cha yoyote isipokuwa Yeye. Jua utanabahi kwamba kukutana na Mwenyezi Mungu kuko na adhabu Yake kwa washirikina ni yenye kuwa, lakini wengi wao hawaujui uhakika wa hilo.