E quando a caravana se aproximou, seu pai disse: Em verdade, pressinto a presença de José, muito embora pensais quedeliro!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Msafara ulipotoka nchi ya Misri wakiwa na ile kanzu, Ya’qūb alisema kuwaambia wale waliokuwa na yeye, «Mimi nasikia harufu ya Yūsuf, ingawa nyinyi mtanifanya ni mchache wa akili, mtanicheza shere na mtadai kwamba maneno haya yametoka kwangu bila ya fahamu.»